Felikola

From Wikipedia, the free encyclopedia

Felikola
Remove ads

Felikola (alifariki Roma, karne ya 4 hivi) alikuwa mwanamke wa Roma ya Kale aliyeuawa kwa ajili ya imani yake [1].

Thumb
Kifodini cha Mt. Felikola.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakristo wa madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini[2][3].

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Juni[4].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads