Felisi wa Split

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Felisi wa Split (alifariki Split, Dalmatia, leo nchini Kroatia, mwanzoni mwa karne ya 4) ni kati ya Wakristo wengi waliouawa kwa ajili ya imani yao wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian[1].

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 18 Mei[2]

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads