Ferrara

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ferrara
Remove ads

Ferrara ni mji wa Italia katika mkoa wa Emilia-Romagna.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...
Thumb
Moja ya maeneo ya Ferrara

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 131,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 9 juu ya usawa wa bahari.

Sehemu ya Mtaguso wa Firenze ilifanyika huko.

Mji wa Renaissance umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO pamoja na delta ya mto Po.

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads