Ferrara
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Ferrara ni mji wa Italia katika mkoa wa Emilia-Romagna.

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 131,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo m 9 juu ya usawa wa bahari.
Sehemu ya Mtaguso wa Firenze ilifanyika huko.
Mji wa Renaissance umo katika orodha ya urithi wa dunia ya UNESCO pamoja na delta ya mto Po.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads