Filbert Bayi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Filbert Bayi (alizaliwa 23 Juni 1953) ni mwanariadha kutoka nchi ya Tanzania aliyehudhuria Michezo ya Olimpiki mwaka wa 1980 kule Urusi upande wa mbio za masafa marefu ya kati na kushinda nishani ya fedha katika mbio ya mita 3000.
Remove ads
Mwaka wa 1974 alikuwa ameboresha rekodi ya mbio ya mita 1500, na mwaka wa 1975 aliboresha rekodi ya mbio ya maili moja.
Bayi ni mwanamichezo aliyejenga jina la taifa lake Tanzania kwa heshima ya michezo. Ni kwamba mara baada ya uhuru wa Tanganyika mwaka 1961 karibu michezo yote ilipewa umuhimu na kuvutia wote, watazamaji na wachezaji.
![]() ![]() |
Makala hii kuhusu wasifu wa Mtanzania bado ni mbegu. Unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuongezea habari. |
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads