Firmus wa Tagaste

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Firmus wa Tagaste ni kati ya maaskofu wa Afrika Kaskazini waliouawa kwa ajili ya imani yao.

Aliteswa sana ili aeleze muumini wa jimbo lake la Tagaste (leo Souk Ahrus, nchini Algeria) mmojawapo amefichama wapi, lakini alikataa.

Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.

Tangu kale anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 31 Julai[1].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads