Flavi na wenzake
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Flavi na wenzake 4 (walifariki Nikomedia, leo Izmit nchini Uturuki, 303) ni Wakristo ambao waliuawa wakati wa dhuluma ya kaisari Diokletian kwa sababu walikataa kuabudu miungu[1].
Wanaheshimiwa na Kanisa Katoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads