Florensa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Florensa (Frigia, 337; Comblé, leo nchini Ufaransa, 366 hivi) alikuwa bikira ambaye alibatizwa na askofu Hilari wa Poitiers, aliyekuwa uhamishoni katika eneo la Uturuki wa leo, akamfuata aliporudi Ulaya akaishi kama mkaapweke hadi alipofariki dunia [1].[2].

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu.
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads