Fortunati na Ermagora

From Wikipedia, the free encyclopedia

Fortunati na Ermagora
Remove ads

Fortunati na Ermagora (walifariki Aquileia, leo nchini Italia, karne ya 3) walikuwa Wakristo ambao waliuawa kutokana na imani yao wakati wa dhuluma ya Dola la Roma.

Thumb
Wat. Fortunati na Ermagora.

Inasadikika Ermagora alikuwa askofu wa kwanza wa Aquileia na Fortunati shemasi wake [1].

Tangu kale wanaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao ni tarehe 12 Julai[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads