Ufundi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Ufundi
Remove ads

Ufundi ni ujuzi au maarifa aliyonayo binadamu katika kufanya jambo fulani.

Thumb
Ufundi wa kuchonga

Katika kueleza dhana ya ufundi tunamhusisha binadamu zaidi, kwani ndiye mwenye ujuzi wa pekee unaomtofautisha na viumbe hai wengine.

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads