Kindi-miraba

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kindi-miraba
Remove ads

Kindi-miraba ni wanyama wadogo wa jenasi Funisciurus katika kabila Protoxerini la familia Sciuridae. Kama kindi wote spishi hizi hupitisha muda mitini hasa lakini huteremka ardhini mara kwa mara. Wanatokea misitu ya Afrika ya Kati mpaka Senegali ya Kusini magharibi na mpaka Namibia ya Kaskazini kusini. Hula mbegu, makokwa, matunda, matumba, machipukizi na wadudu.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi

Remove ads

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads