Galatori
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Galatori (kwa Kilatini: Galactorius; kwa Kifaransa: Galactoire; alifariki Mimizan, leo nchini Ufaransa, 507) alikuwa askofu wa Lescar aliyeuawa na Wavisigoti [1].
Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads