Galatori

From Wikipedia, the free encyclopedia

Galatori
Remove ads

Galatori (kwa Kilatini: Galactorius; kwa Kifaransa: Galactoire; alifariki Mimizan, leo nchini Ufaransa, 507) alikuwa askofu wa Lescar aliyeuawa na Wavisigoti [1].

Thumb
Sanamu yake.

Tangu kale anaheshimiwa na Wakatoliki na Waorthodoksi kati ya watakatifu wafiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 27 Julai[2][3].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads