Gando
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gando ni kata ya Wilaya ya Wete katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, , Zanzibar, Tanzania, yenye postikodi namba 75116.
Kijiji cha Gando kinapatikana kaskazini magharibi mwa fukwe ya kisiwa cha Pemba, kilomita 7 kaskazini magharibi mwa Wete.
Kisiwa cha Njao kinapatikana upande wa magharibi wa kijiji hicho.
Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 4,265 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 2210 [2] walioishi humo.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads