Gando

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Gando ni kata ya Wilaya ya Wete katika Mkoa wa Kaskazini Pemba, , Zanzibar, Tanzania, yenye postikodi namba 75116.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Kijiji cha Gando kinapatikana kaskazini magharibi mwa fukwe ya kisiwa cha Pemba, kilomita 7 kaskazini magharibi mwa Wete.

Kisiwa cha Njao kinapatikana upande wa magharibi wa kijiji hicho.

Katika sensa iliyofanyika mwaka 2022 wakazi walihesabika kuwa 4,265 [1]. Wakati wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 2210 [2] walioishi humo.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads