Treni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Treni
Remove ads

Treni (kutoka Kiingereza train; huitwa pia gari la moshi au garimoshi) ni chombo cha usafiri kwenye reli za garimoshi. Pia anaendesha hili jombo anaitwa nahodha.

Thumb
Treni za TRC kituoni huko Dar es Salaam.
Thumb
Treni.

Treni inamaanisha jumla ya mabehewa inayovutwa au kusukumwa na injinitreni kwenye njia ya reli. Mfumo wa usafiri kwa treni huitwa kwa kifupi reli.

Mabehewa haya yanaweza kubeba watu au mizigo, hivyo kuna tofauti kati ya treni ya abiria na treni ya mizigo.

Mahali ambako treni inasimama na kupokea abiria au mizigo huitwa kituo cha reli.

Remove ads

Picha

Thumb
Treni
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads