Gaziantep
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Gaziantep (kwa Kiosmani Kituruki; Ayintap; jina la zamani na hadi leo linatumika kufupisha kama: Antep) ni mji mkuu wa Jimbo la Gaziantep nchini Uturuki. Mji huu unatazamwa kama moja kati ya miji ya kale duniani ambayo hadi leo bado inakaliwa.

Mji huo una vituo viwili vya utawala wa wilaya zake, Şahinbey na Şehitkamil, na unakaliwa na wakazi wapatao 1,237,874[1] (2007) na una eneo la kilomita za mraba zipatazo 2,138.[2]
Huu ni mji wa sita kwa ukubwa nchini Uturuki na ndio mji mkubwa katika Anatolia ya Kusini-Mashariki - Uturuki.
Remove ads
Jina la mji
Mji ulikuwa ukijulikana na Wagiriki wa Kale na Waroma kama Doliche au Dolichenus (kwa Kituruki: Dülük). Waarabu, Waseljuk, Waosma walilijua kama ʿAintab au Aïntab, ambalo linatokana na Kiarabu Ayn (chemchem) na tab (nzuri).
Tangu tarehe 8 Februari 1921,[3].
Mji ulipewa jina rasmi la Gaziantep, gazi kwa Kiarabu likiwa na maana ya mkongwe.
Marejeo
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads