Gaziantep

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gaziantep
Remove ads

Gaziantep (kwa Kiosmani Kituruki; Ayintap; jina la zamani na hadi leo linatumika kufupisha kama: Antep) ni mji mkuu wa Jimbo la Gaziantep nchini Uturuki. Mji huu unatazamwa kama moja kati ya miji ya kale duniani ambayo hadi leo bado inakaliwa.

Thumb
Mji wa Gaziantep

Mji huo una vituo viwili vya utawala wa wilaya zake, Şahinbey na Şehitkamil, na unakaliwa na wakazi wapatao 1,237,874[1] (2007) na una eneo la kilomita za mraba zipatazo 2,138.[2]

Huu ni mji wa sita kwa ukubwa nchini Uturuki na ndio mji mkubwa katika Anatolia ya Kusini-Mashariki - Uturuki.

Remove ads

Jina la mji

Mji ulikuwa ukijulikana na Wagiriki wa Kale na Waroma kama Doliche au Dolichenus (kwa Kituruki: Dülük). Waarabu, Waseljuk, Waosma walilijua kama ʿAintab au Aïntab, ambalo linatokana na Kiarabu Ayn (chemchem) na tab (nzuri).

Tangu tarehe 8 Februari 1921,[3].

Mji ulipewa jina rasmi la Gaziantep, gazi kwa Kiarabu likiwa na maana ya mkongwe.

Marejeo

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads