Genova
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Genova ni mji wa Italia katika mkoa wa Liguria. Ndiyo makao makuu ya mkoa. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 610,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 20 juu ya usawa wa bahari.

Sehemu ya mji imo katika orodha ya urithi wa dunia wa UNESCO.
Remove ads
Tazama pia
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads