Genova

From Wikipedia, the free encyclopedia

Genova
Remove ads

Genova ni mji wa Italia katika mkoa wa Liguria. Ndiyo makao makuu ya mkoa. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2009, kuna wakazi wapatao 610,000 wanaoishi katika mji huu. Mji upo mita 20 juu ya usawa wa bahari.

Thumb
Mji wa Genova
Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Sehemu ya mji imo katika orodha ya urithi wa dunia wa UNESCO.

Remove ads

Tazama pia

Marejeo

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads