George Boniface Simbachawene

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

George Boniface Simbachawene (amezaliwa tar. 5 Julai 1968) ni mbunge wa jimbo la Kibakwe katika bunge la kitaifa huko nchini Tanzania. Amechaguliwa kuwa mbunge wa Kibakwe kwa mwaka 20152020[1] [2] Anatokea katika chama cha CCM.

Tazama pia

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads