Kuchakulo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Kuchakulo
Remove ads

Kuchakulo ni wanyama wadogo kama kindi katika kabila Xerini la familia Sciuridae. Tofauti na kindi, ambao huishi mitini, kuchakulo huishi ardhini. Wanatokea maeneo makavu ya Afrika, isipokuwa kuchakulo makucha-marefu anayetokea Asia ya Kati. Hula mbegu, makokwa, matunda, matumba, manyasi, machipukizi na wadudu. Huchimba vishimo ambamo walala na kukingwa dhidi ya joto na wanyama mbua. Hutafuta chakula wakati wa mchana.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Spishi za Afrika

Spishi ya Asia

Spishi ya kabla ya historia

  • Xerus daamsi (Pliocene ya Kossom Bougoudi, Chadi)

Picha

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads