Giotto
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Giotto di Bondone (Florence, 1266/7 – 8 Januari 1337) ni kati ya wachoraji bora kutoka Italia, pamoja na kuwa mhandisi.


Anahesabiwa kati ya wasanii walioandaa Renaissance, kwa kuachana na mitindo ya Bizanti na kuchora watu walivyo kweli.[1]
Upande wa dini, alikuwa Mkristo wa Kanisa Katoliki, tena mwanachama wa Utawa wa Tatu wa Mt. Fransisko.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads