Go-Komatsu

From Wikipedia, the free encyclopedia

Go-Komatsu
Remove ads

Go-Komatsu (1 Agosti 1377 1 Desemba 1433) alikuwa mfalme mkuu wa 100 (Tenno) wa Japani. Jina lake la kuzaliwa lilikuwa Motohito. Tangu 24 Mei 1382 alidai ufalme. Tarehe 21 Oktoba 1392 alimfuata Go-Kameyama, na kuwa mfalme hadi kujiuzulu tarehe 5 Oktoba 1412. Aliyemfuata ni mwana wake, Shoko.

Thumb
Mchoro wa Go-Komatsu

Angalia pia

Makala hii kuhusu Kaizari fulani wa Japani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Go-Komatsu kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads