Goardo na wenzake

From Wikipedia, the free encyclopedia

Goardo na wenzake
Remove ads

Goardo na wenzake (pia: Gunardo, Gunhard, Gohard, Gundard au Guichard; walifariki Nantes, Bretagne, leo nchini Ufaransa, 24 Juni 843) walikuwa askofu na Wakristo wengi waliouawa na Wanormani wakati wa Misa kwa ajili ya imani yao[1].

Thumb
Mt. Goardo na Wavikingi

Tangu kale wanaheshimiwa kama watakatifu wafiadini.

Sikukuu yao huadhimishwa tarehe 24 Juni[2].

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads