Godeleva
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Godeleva (pia: Godelieve, Godelina; Boulogne, leo nchini Ufaransa, 1052 hivi; Gistel, leo nchini Ubelgiji, 6 Julai 1070) alikuwa mke wa mtu mkatili aliyemtesa sana akishirikiana na mama yake. Hatimaye alinyongwa na wafanyakazi wao wawili kwa sababu alitamani kuwa mtawa kuliko kuolewa[1].

Anaheshimiwa kama mtakatifu mfiadini tangu alipotangazwa na Papa Urbano II mwaka 1084[2].
Remove ads
Tazama pia
Tanbihi
Marejeo
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads