Gradi

From Wikipedia, the free encyclopedia

Gradi
Remove ads

Gradi (kutoka neno la Kifaransa) ni kizio cha kupimia pembe. Msingi wake ni mzunguko kamili wa duara unaogawiwa kwa sehemu 400ᵍ. Kwa kawaida gradi moja huandikwa kama 1ᵍ.

Thumb
Duara 400ᵍ

Nusuduara ina 200ᵍ. Pembemraba ina 100ᵍ. Jumla ya pembe ndani ya pembetatu ni 200ᵍ, ndani ya mstatili ni 400ᵍ.

Gradi inaweza kugawiwa tena kwa sentigradi na sentisentigradi. Sentigradi 1ᶜ ni sehemu ya 100 na sentisentigradi 1ᶜᶜ ni sehemu ya 10000 ya gradi moja.

Remove ads

Historia

Asili ya hesabu hii huaminiwa kuwa katika Ufaransa.

Tazama pia

Makala hii kuhusu mambo ya hisabati bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Gradi kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads