Machata

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Machata (kutoka Kiingereza:Graffiti) ni alama au maandishi yaliyochorwa katika ukuta. Kikawaida hufanywa na rangi au kidude cha kupulizia rangi (rangi inayopulizwa kutoka katika kikopo). Alama moja yaweza kuitwa graffito lakini neno graffiti kikawaida hutumika kwa maana ya kwamba kuna alama zaidi ya moja.

Graffiti inaweza kuchukua umbo la sanaa, michoro au maneno. Hatua hii ikifanyika bila ya idhini ya mwenye mali huhesabiwa kama uhuni. Wakati mwingine watu huchora na kuandika jina la mtu au maneno makali. Wakati mwingine huwa kama upingaji wa umma kisiasa.

Remove ads

Historia yake

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:

Tazama pia

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads