Halima Abdallah Bulembo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Halima Abdallah Bulembo (amezaliwa tarehe 1 Aprili 1991) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM).

Amechaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads