Hananasif

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Hananasif ni kata ya Wilaya ya Kinondoni katika Mkoa wa Dar es Salaam, Tanzania, yenye postikodi namba 14109.

Ukweli wa haraka Nchi, Mkoa ...

Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi walihesabiwa 27,615 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, kata ilikuwa na wakazi wapatao 37,115 waishio humo.[2]

Katika kata hiyo inapatikana shule ya sekondarI ya Hananasif na parokia ya Kanisa Katoliki Mt. Ana Hananasif.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads