Harbin

From Wikipedia, the free encyclopedia

Harbin
Remove ads

Harbin (kwa Kichina: 哈尔滨) ni mji wa China. Ndio mji mkuu wa jimbo la Heilongjiang.

Thumb
Mji wa Harbin
Ukweli wa haraka Nchi, Jimbo ...

Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mnamo mwaka wa 2008, kuna wakazi wapatao milioni 9.9 wanaoishi katika mji huu.

Mji uko mita 150 juu ya usawa wa bahari.

Makala hii kuhusu maeneo ya China bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Harbin kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads