Harrison Ford

From Wikipedia, the free encyclopedia

Harrison Ford
Remove ads

Harrison Ford (amezaliwa tarehe 13 Julai 1942 Mjini Chicago, Illinois, Marekani) Ni muigizaji wa filamu kutoka nchini marekani. Anafahamika zaidi kwa ujasili wake kwa kuwa nahodha "Han Solo" katika mfululizo wa filamu ya 'Star Wars.
Na pia kuwa mtafiti wa vitendo, Yaani kila anachojaribu kukitafiti yeye huwa asomi tu bali mpaka akione chanzo chake, anafahamika kama Dr. Henry 'Indiana Jones' katika mfululizo wa filamu ya Indiana Jones. Ford pia amewahi kuwa nyota wa filamu nyingi tu za hali ya juu ikiwemo ile ya Air Force One na Fugitive ambazo pia zilimpa heshima kubwa na umaarufu pia mbali na zile za mwanzo zilizokuwa zinafahamika kama 'Indiana Jones'.

Ukweli wa haraka Harrison Ford ...
Remove ads

Maisha ya Mwanzo

Maisha Binafsi

Filamu Alizoigiza

Maelezo zaidi Mwaka, Filamu ...
Remove ads

Marejeo

Viungo vya nje

WikiMedia Commons
WikiMedia Commons
Wikimedia Commons ina media kuhusu:
Makala hii kuhusu mwigizaji filamu fulani wa Marekani bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Harrison Ford kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads