Indiana

From Wikipedia, the free encyclopedia

Indiana
Remove ads

Indiana ni jimbo la kujitawala la Maungano ya Madola ya Amerika au Marekani. Mji mkuu na mji mkubwa ni Indianapolis. Imepakana na Michigan, Ohio, Kentucky, na Illinois. Iko kwenye mwanbao wa Ziwa Michigan.

Ukweli wa haraka Nchi, Mji mkuu ...

Jimbo lina wakazi wapatao 6,376,792 (2008) wanaokalia katika eneo la kilomita za mraba zipatazo 94,321.


Thumb


Remove ads

Viungo vya Nje

State of Indiana Official Website

Ukweli wa haraka


Makala hii kuhusu maeneo ya Marekani bado ni mbegu.
Je unajua kitu kuhusu Indiana kama historia yake, biashara, taasisi zilizopo, watu au utamaduni?
Labda unaona habari katika wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads