Herme wa Numidia
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Herme wa Numidia (alifariki 290 hivi) ni kati ya Wakristo wa Numidia (Afrika Kaskazini) waliouawa kwa ajili ya imani yao katika dhuluma ya kaisari Maximian.
Kwa kuwa hayajulikani mengine kuhusu historia yake, haorodheshwi tena na Martyrologium Romanum.
Tazama pia
Tanbihi
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads