Herode Antipa
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Herode Antipa (kwa Kigiriki Ἡρῴδης Ἀντίπατρος, Hērǭdēs Antipatros) alikuwa mtawala wa Galilaya na Perea katika karne ya 1. Alizaliwa na mfalme Herode Mkuu kabla ya mwaka 20 KK – akafariki uhamishoni[1] baada ya mwaka 39 BK).
Anajulikana hasa kutokana na habari zake zinazosimuliwa katika Agano Jipya ambamo Injili, hasa ile ya Luka zinaeleza alivyoagiza Yohane Mbatizaji akatwe kichwa na alivyomrudisha Yesu kwa Ponsyo Pilato siku ya Ijumaa Kuu ya mwaka 30 hivi.
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
- Ya zamani
- Biblia: Zaburi 2:2; Injili ya Mathayo 14:1-11; Injili ya Marko 6:14-28; Injili ya Luka 3:1, 3:19-20, 8:3, 9:7-9, 13:31-33, 23:5-16; Injili ya Yohane 6:1, 21:1; Matendo ya Mitume 4:26, 13:1.
- Cassius Dio 59.8.2, 59.27.2–3.
- Yosefu Flavius, Antiquities 17–18, War 1–2.
- Injili ya Petro 1.
- Philo, On the Embassy to Gaius 299–305.
- Suetonius, Caligula 14.3.
- Ya kisasa
Viungo vya nje
- Galilee under Antipas and Antipas entries in historical sourcebook by Mahlon H. Smith
![]() |
Makala hii kuhusu mtu wa Biblia bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Herode Antipa kama habari za maisha au kazi yake? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads