Historia ya China

From Wikipedia, the free encyclopedia

Historia ya China
Remove ads

Historia ya China inahusu eneo ambalo leo linaunda Jamhuri ya Watu wa China lakini hasa maeneo yote yanayopakanwa na Nyanda za Juu za Tibet upande wa magharibi, Jangwa la Gobi upande wa kaskazini, Myanmar (Burma), Laos na Vietnam upande wa kusini- magharibi na bahari upande wa mashariki. [1]

Thumb
Maeneo yaliyotawaliwa na nasaba mbalimbali katika urefu wote wa historia ya China.

Vyanzo

Jamii za kwanza zilizoendelea kuwa sehemu za utamaduni wa Kichina zilikalia bonde la Mto Huang He (Mto Njano). Kutoka hapa zilienea polepole zikiathiri makabila mengine. Wakati wa Nasaba ya Han (206 KK – 220 KK) , maeneo mengi ya china ya kihistoria yaliathiriwa tayari na utaaduni ulioanzishwa kwenye kaskazini. Kote hapa ilienea polepole lugha ya kimaandishi ya pamoja, imani kwa nguvu ya mbingu na mizimu na mtazamo wa pamoja kuhusu umuhmu wa matendo na sadaka maalumu zinazolenga kujenga upatanifu mzuri baina ya mbingu, mazingira asilia na binadamu.

Historia ya China hugawanyika katika vipindi vya nasaba za kifalme mbalimbali. Vipindi muhimu zaidi ni kama ifuatavyo:

Remove ads

Nasaba kabla ya maungano ya China

Kabla ya kuunganiswa kwa China kulikuwa na madola mbalimbali. Kati ya madola hayo kuna hasa nasaba tatu zilizoacha ushahidi wa kihistoria:

Katika kipindi hicho yalitokea mabadiliko kutoka teknolojia ya mawe hadi bronzi na baadaye chuma. Misingi ya falsafa na dini ya Utao na pia Ukonfusio iliwekwa wakati wa Zhou.

Remove ads

Nasaba tangu kuunganishwa kwa China

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads