Hot R&B/Hip-Hop Songs

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

R&B/Hip-Hop Songs (zamani iliitwa Black Singles Chart) ni chati inayotolewa kila wiki na Billboard huko nchini Marekani.

Chati hii ilianzishwa mnamo mwaka wa 1942, inatumika kufuatilia mafanikio ya nyimbo maarufu katika maeneo ya mijini, au hasa kumbi za wale Waafrika-Waamerika. Ilifunika kwa miaka mingi kwenye aina ya muziki mbalimbali kama vile jazz, rhythm na blues, rock and roll, doo wop, soul, na funk, na leo hii imefunikwa na contemporary R&B na hip hop.

Remove ads

Takwimu za chati

  • Wsanii wenye kushika sana nafasi ya kwanza ya vibao vikali Hot R&B:
1. Aretha Franklin - 20
2. Stevie Wonder - 19
3. Louis Jordan - 18
4. James Brown - 17
5. Janet Jackson - 16
6. The Temptations - 14
7. Michael Jackson - 13 (tie)
7. Marvin Gaye - 13 (tie)
9. R. Kelly - 11
10. Mariah Carey - 10 (tie)
10. Whitney Houston - 10 (tie)
10. Gladys Knight & the Pips - 10 (tie)
10. Kool & the Gang - 10 (tie)
10. The O'Jays - 10 (tie)
Remove ads

Tazama pia

Viungo vya Nje

Makala hii kuhusu mambo ya muziki bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Hot R&B/Hip-Hop Songs kama historia yake au mahusiano yake na mada nyingine?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads