Hussein Mohamed Bashe
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Hussein Mohamed Bashe (amezaliwa 26 Agosti 1975) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Nzega Mjini kwa mwaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads