Immaculate Sware Semesi
Mwanasiasa wa Tanzania From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Immaculate Sware Semesi ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa chama cha kisiasa cha CHADEMA.
Alichaguliwa kuwa mbunge wa Viti maalum vya wanawake kwa miaka 2015 – 2020.
Kwa sasa ni Mkurugenzi wa NEMC (National Environment Management Council) [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads