Internazionale Milano

From Wikipedia, the free encyclopedia

Internazionale Milano
Remove ads

Internazionale Milano, maarufu kama Inter au Inter Milan kwa wasio Wataliano, ni klabu ya mpira wa miguu iliyopo Milano nchini Italia. Ni moja ya timu zinazoheshimika duniani. Timu hiyo ilianzishwa mwaka 1908 na mashabiki wa AC Milan ambao walitaka timu iruhusu wachezaji wa kigeni ndiyo maana ikapata jina la Internazionale (yaani: Ya kimataifa).

Makala hii kuhusu mambo ya michezo bado ni mbegu.
Je, unajua kitu zaidi kuhusu Internazionale Milano kama historia yake, uenezi au kanuni zake?
Labda unaona katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine habari zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Thumb
Mashabiki wa Inter milan kwenye fainali ya UEFA kwenye Uwanja wa michezo wa Santiago Bernabéu.
Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads