Interscope Records

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Interscope Records ni studio ya muziki ya Kimarekani, inayomilikiwa na studio ya Universal Music Group, na inafanyakazi kama moja kati ya studio tatu za UMG - Interscope-Geffen-A&M. Studio ilianzishwa mnamo mwaka wa 1990.

Ukweli wa haraka Shina la studio, Imeanzishwa ...
Remove ads

Historia

Hapo awali

Interscope ilianzishwa mnamo mwaka wa 1990 na Bw. Jimmy Iovine, Ted Field, na Tom Whalley kwa msaada wa kifedha uliotolewa na studio ya Atlantic Records (ambayo ilikuwa inachukua asilimia 50 ya mapato ya studio).

Wakati studio inaanza kazi zake, mwanzoni zilikuwa zikisambazwa na Atlantic Records ikiwa chini ya East West Records ya Amerika.

Studio kwa mara ya kwanza ilitoa kazi ya rapa wa Kilatini-Gerardo, ambaye alishinda tano bora, kwa kibao chake mahili cha "Rico Suave" kunako mwaka wa 1991.

Mafanikio mengine ya awali na baadaye, ni pale walipotoa albamu ya kwanza ya Marky Mark and the Funky Bunch, ambayo ilikwenda moja kwa moja katika platinam za mwanzoni mwa mwaka wa 1992. Wakati wa kipindi hicho, Interscope pia ikaingia mkataba na baadhi ya wasanii wa rap na hip hop kama vile Tupac Shakur, Primus, No Doubt na Nine Inch Nails."[1]

Remove ads

Wasanii wa Interscope

Makala kuu: Orodha ya Wasanii wa Zamani wa Interscope Records

Studio ambazo ziko chini ya Interscope

Makala kuu: Universal Music Group

Tazama pia

  • Albamu za Interscope Records

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads