Irenarki

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Irenarki (alifariki Sebaste katika Armenia Ndogo, leo Sivas, Uturuki, 303 hivi) alikuwa askari mwenye jukumu la kutesa wafungwa ambaye aliongokea Ukristo kwa kuona ushujaa wa wanawake wa dini hiyo katika kukabili kifodini kwa ajili ya imani yao.

Hatimaye yeye naye aliuawa kwa shoka chini ya gavana Masimo katika dhuluma ya kaisari Dioklesyano[1].

Ndiyo sababu anaheshimiwa na madhehebu mbalimbali kama mtakatifu mfiadini.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 28 Novemba[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads