Iringa Mjini
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Wilaya ya Iringa Mjini ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Iringa. Eneo lake ni hasa manisipaa ya Iringa pamoja na vijiji vya kando.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 106,668 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 202,490 [2].
Tanbihi
Viungo vya Nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads