Iringa Mjini

From Wikipedia, the free encyclopedia

Iringa Mjini
Remove ads

Wilaya ya Iringa Mjini ni wilaya mojawapo kati ya 5 za Mkoa wa Iringa. Eneo lake ni hasa manisipaa ya Iringa pamoja na vijiji vya kando.

Thumb
Mahali pa mkoa wa Iringa (kijani) kabla ya kumegwa.

Katika sensa ya mwaka 2002, idadi ya wakazi wa wilaya hiyo ilihesabiwa kuwa 106,668 [1]. Katika sensa ya mwaka 2022 walihesabiwa 202,490 [2].

Tanbihi

Viungo vya Nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads