Issaay Zacharia Paulo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Issaay Zacharia Paulo (amezaliwa 12 Januari 1962) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Mbulu Mjini kwa miaka 20152020. [1]

Marejeo

Loading content...
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads