Italia visiwani

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Italia Visiwani ni sehemu ya Italia[1] inayoundwa na mikoa miwili ya visiwani: Sicilia na Sardegna.

Kwa jumla ni km2 49,801 na wakazi 6,746,464[2]. Msongamano ni mdogo, lakini ni mikoa fukara kuliko kawaida ya nchi.

Tanbihi

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads