Itigi
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Itigi ni mji mdogo na makao makuu ya Wilaya ya Itigi katika Mkoa wa Singida, Tanzania.
Katika sensa ya mwaka 2022 wakazi wa kata ya Itigi Mjini walihesabiwa 7,157 [1]. Kwa mujibu wa sensa iliyofanyika mwaka wa 2012, ilikuwa na wakazi wapatao 5,590 waishio humo.[2]
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads