Iveta

From Wikipedia, the free encyclopedia

Iveta
Remove ads

Iveta (pia: Juta, Jufta; 1158 - 13 Januari 1228) alikuwa mwanamke ambaye, kisha kubaki mjane, alijitosa kwa miaka 11 kuhudumia wakoma na hatimaye alitengwa na jamii pamoja nao huko Huy karibu na Liege, Ubelgiji. Miaka 36 ya mwisho ya maisha yake aliishi upwekeni kabisa na kujaliwa karama za pekee[1].

Thumb
Mt. Iveta akihudumia wakoma.

Tangu kale anaheshimiwa na Kanisa Katoliki kama mtakatifu.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe 13 Januari[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Marejeo ya lugha nyingine

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads