Jahffarie

From Wikipedia, the free encyclopedia

Remove ads

Jahffarie (anafahamika zaidi kwa jina la kisanii Japhari Msham Ally; amezaliwa 29 Septemba 1980) ni msanii wa muziki wa Hip hop na Bongo Flava kutoka nchini Tanzania.

Ukweli wa haraka Jina la kuzaliwa, Pia anajulikana kama ...

Anafahamika zaidi kwa baadhi ya vibao vyake kama vile Niko Bize, Anajua Anachotaka, Hawapendi, n.k.

Jahffarie pia ni mmoja katika ya wanakundi la muziki wa hip hop na rap la Wateule.

Remove ads

Marejeo

Makala hii kuhusu mwanamuziki/wanamuziki fulani wa Tanzania bado ni mbegu.
Je, unajua kitu kuhusu Jahffarie kama wasifu wake, habari za maisha au kazi yake?
Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa?
Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari.
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads