Jeni

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jeni
Remove ads

Jeni (pia kinasaba; kwa Kiingereza "gene", kutoka Kigiriki γόνος, gonos, yaani uzao) ni sehemu kwenye DNA. DNA ni mkusanyiko wa taarifa za kemikali ambazo hubeba maelekezo kwa ajili ya kutengeneza protini kwenye seli. Kila jeni au kinasaba hubeba habari zinazothibiti tabia za binadamu na kila kiumbehai (kama vile wanyama na mimea) zilizopokewa kutoka wazazi kama vile mwonekano, jinsia na maumbile yote.

Thumb
Picha halisi ya padri Gregor Mendel, baba wa jenetikia.

Kila jeni ina seti moja ya maelekezo. Maelekezo hayo kawaida ni msimbo wa protini fulani.

DNA ya binadamu huwa na jeni takribani 27,000. Nusu ya jeni ya mtu hutoka kwa mama. Nusu nyingine hutoka kwa baba.

Remove ads

Tanbihi

Loading content...

Marejeo

Loading content...

Viungo vya nje

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads