Jeradi Sagredo

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jeradi Sagredo
Remove ads

Jeradi Sagredo, O.S.B. (Venezia, Veneto, Italia, 23 Aprili 980 hivi - Budapest, Hungaria, 24 Septemba 1046) alikuwa mmonaki Mbenedikto aliyeinjilisha Hungaria chini ya mfalme wa kwanza, Stefano wa Hungaria, aliyemfanya askofu wa Csanad (10001038)[1].

Thumb
Mt. Jeradi akimlea Mt. Emeriko wa Hungaria.

Hatimaye aliuawa na Wapagani kwa kupigwa mawe, akaitwa Mtume wa Hungaria.

Papa Gregori VII alimtangaza mtakatifu tarehe 20 Agosti 1083 pamoja na Stefano na mwanae, Emeriko wa Hungaria, aliyelelewa naye.

Sikukuu yake huadhimishwa tarehe ya kifodini chake[2].

Remove ads

Tazama pia

Tanbihi

Marejeo ya Kiswahili

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads