Jimbo Kuu la Mbeya
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Jimbo Kuu la Mbeya (kwa Kilatini "Archidioecesis Mbeyaënsis") ni mojawapo kati ya majimbo 36 ya Kanisa Katoliki nchini Tanzania na kama hayo yote linafuata mapokeo ya Kiroma.
Kikanisa linasimamia jimbo Katoliki la Iringa, Jimbo Katoliki la Sumbawanga na Jimbo Katoliki la Mafinga.
Askofu mkuu wake wa kwanza amechaguliwa Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga tarehe 21 Desemba 2018.
Remove ads
Historia
- 1932: Kuanzishwa kwa Apostolic Prefecture ya Mbeya kutokana na Apostolic Vicariate ya Tanganjika
- 1949: Kupandishwa hadhi kuwa Apostolic Vicariate ya Mbeya
- 25 Machi 1953: Kufanywa dayosisi
- 21 Desemba 2018: Kupandishwa hadhi kuwa Jimbo kuu
Uongozi
- Maaskofu wa Mbeya
- Gervas John Mwasikwabhila Nyaisonga (2018- )
- Evaristo Marc Chengula MC (1996-2018)
- James Dominic Sangu (1966 – 1996)
- Antoon van Oorschoot MAfr (1953 – 1964)
- Vicar Apostolic wa Mbeya
- Antoon van Oorschoot MAfr (1949 – 1953)
- Prefect Apostolic wa Mbeya
- Antoon van Oorschoot MAfr (1947 – 1949)
- Ludwig Haag MAfr (1938 – 1947)
- Max Theodor Franz Donders MAfr (1932 – 1938)
Takwimu
Eneo ni la kilometa mraba 60,348, ambapo kati ya wakazi 2,082,000 (2006) Wakatoliki ni 347,347 (16.7%).
Viungo vya nje
![]() |
Makala hii kuhusu Kanisa Katoliki bado ni mbegu. Je, unajua kitu kuhusu Jimbo Kuu la Mbeya kama historia yake au maelezo zaidi? Labda unaona habari katika Wikipedia ya Kiingereza au lugha nyingine zinazofaa kutafsiriwa? Basi unaweza kuisaidia Wikipedia kwa kuihariri na kuongeza habari. |
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads