John McCarthy
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
John McCarthy (Septemba 4, 1927 – Octoba 24, 2011) alikuwa mwanasayansi wa kompyuta na sayansi utambuzi wa Marekani. Ni moja kati ya waasisi wa taaluma ya Akili bandia [1].
'
Alikuwa mwandishi mwenza wa hati iliyobuni neno "Akili bandia", aliunda lugha ya programu ya Lisp, kwa kiasi kikubwa alichangia muundo wa lugha ya ALGOL, alisadia kutangaza ugawanaji-mda na kuvumbua ukusanyaji taka za kielektroniki.
John McCarthy alitumia mda mwingi wa kazi yake kwenye chuo kikuu cha Stanford [2]. Alipokea tuzo za heshima nyingi, kama vile Tuzo ya Turing ya mwaka 1971 kwa michango yake kwenye Akili bandia [3], medali ya taifa ya sayansi ya Marekani na Tuzo ya Kyoto.
Remove ads
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads