John McCarthy

From Wikipedia, the free encyclopedia

John McCarthy
Remove ads

John McCarthy (Septemba 4, 1927 – Octoba 24, 2011) alikuwa mwanasayansi wa kompyuta na sayansi utambuzi wa Marekani. Ni moja kati ya waasisi wa taaluma ya Akili bandia [1].

'

Ukweli wa haraka Amezaliwa, Amefariki ...

Alikuwa mwandishi mwenza wa hati iliyobuni neno "Akili bandia", aliunda lugha ya programu ya Lisp, kwa kiasi kikubwa alichangia muundo wa lugha ya ALGOL, alisadia kutangaza ugawanaji-mda na kuvumbua ukusanyaji taka za kielektroniki.

John McCarthy alitumia mda mwingi wa kazi yake kwenye chuo kikuu cha Stanford [2]. Alipokea tuzo za heshima nyingi, kama vile Tuzo ya Turing ya mwaka 1971 kwa michango yake kwenye Akili bandia [3], medali ya taifa ya sayansi ya Marekani na Tuzo ya Kyoto.

Remove ads

Marejeo

Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads