Jongoo Miguu-michache

From Wikipedia, the free encyclopedia

Jongoo Miguu-michache
Remove ads

Majongoo miguu-michache ni aina za arithropodi wadogo katika ngeli Pauropoda ya nusufaila Myriopoda. Wana mnasaba na majongoo ya kawaida lakini wana urefu mfupi (mm 0.5-2) na miguu michache kuliko hawa (jozi 9-11 katika wanyama wazima). Vipapasio vyao vina vitawi. Hawana macho wala moyo. Huonekana katika udongo na inawezekana kama hula kuvu na dutu ya viumbehai.

Maelezo zaidi Uainishaji wa kisayansi, Ngazi za chini ...
Remove ads

Picha

Makala hii kuhusu "Jongoo Miguu-michache" inatumia neno (au maneno) ambalo si kawaida na matumizi yake ni jaribio la kutafsiri neno (au maneno) la asili Pauropoda kutoka lugha ya Kilatini. Neno (au maneno) la jaribio ni jongoo miguu-michache.
Wasomaji wanaombwa kuchangia mawazo yao kwenye ukurasa wa majadiliano ya makala.

Kamusi za Kiswahili ama zinatofautiana kuhusu matumizi ya neno hili au hazieleweki au hazina neno kwa jambo linalojadiliwa.

Remove ads
Loading related searches...

Wikiwand - on

Seamless Wikipedia browsing. On steroids.

Remove ads