Jongoo Miguu-michache
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Majongoo miguu-michache ni aina za arithropodi wadogo katika ngeli Pauropoda ya nusufaila Myriopoda. Wana mnasaba na majongoo ya kawaida lakini wana urefu mfupi (mm 0.5-2) na miguu michache kuliko hawa (jozi 9-11 katika wanyama wazima). Vipapasio vyao vina vitawi. Hawana macho wala moyo. Huonekana katika udongo na inawezekana kama hula kuvu na dutu ya viumbehai.
Remove ads
Picha
- Jongoo miguu-michache wa Huxley
Remove ads
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads