Joram Ismael Hongoli
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Joram Ismael Hongoli (amezaliwa 03 Julai 1976) ni mwanasiasa Mtanzania na mwanachama wa Chama cha kisiasa cha Chama Cha Mapinduzi (CCM). Amechaguliwa kuwa mbunge wa Lupembe kwa miaka 2015 – 2020. [1]
Marejeo
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads