Josemaría Escrivá
From Wikipedia, the free encyclopedia
Remove ads
Josemaria Escriva (Barbastro, Hispania, 9 Januari 1902 – Roma, Italia, 26 Juni 1975) alikuwa padri wa Kanisa Katoliki na mwanzilishi wa jumuia ambayo baada ya kifo chake ikawa jimbo lisilo na eneo la Opus Dei na shirika la kipadri la Msalaba Mtakatifu[1].


Alitangazwa na Papa Yohane Paulo II kuwa mwenye heri tarehe 17 Mei 1992 na mtakatifu tarehe 6 Oktoba 2002.
Remove ads
Tazama pia
Maandishi yake
- Escrivá, Josemaría (2002), The Way, Leominster: Gracewing, ISBN 978-0-85244-566-2
- Escrivá, Josemaría (1987), Furrow, Princeton: Scepter Publishers, ISBN 0-906138-13-2
- Escrivá, Josemaría (2003), The Forge, Princeton: Scepter Publishers, ISBN 0-933932-56-1
- Escrivá, Josemaría; Balaguer, Jose (2002), Conversations with Monsignor Josemaría Escrivá, Princeton: Scepter Publishers, ISBN 978-1-889334-58-5
- Escrivá, Josemaría (1981), Friends of God, Princeton: Scepter, ISBN 0-906138-02-7
- Escrivá, Josemaría (1982), Christ Is Passing by, Sydney: Little Hills Press, ISBN 0-933932-04-9
- Escrivá, Josemaría (1989), In Love with the Church, Lincoln: London, ISBN 0-906138-26-4
- Escrivá, Josemaría (2001), Holy Rosary, Princeton: Scepter, ISBN 1-889334-44-8
Remove ads
Tanbihi
Marejeo
Marejeo mengine
Viungo vya nje
Wikiwand - on
Seamless Wikipedia browsing. On steroids.
Remove ads
